@lydiamutheu39243 years agoKakika nimesubuka sanitakutafuta na mungu hakuzindishie kuzijua nakuzielewa zaidi niko mbali sijui wapatikaniwa sehem gani.
@
@mohammediddmdede96102 years agoAsalamu alaykum dk nimeota nanunua mbuzi mwenye mtoto.
@
@mwanahamisially52345 years agoKweli jman pamoja na dawa zot inada pia ndo jambo lakwanz. 2
@
@djyondergigi10273 years agoA aleikum nimeota mbuzi nime mdungu na alikufa mbuzi tena mwenyewe ni kipofu. Na rangi mweupe na rangi nyingine kama tatu. Ndiyo nini shukran.
@
@angelmacha82783 years agoNa ukiota ww ndo unamkimbiza ng' ombe. 1
@
@asiamct40254 years agoDoctar nimeota mwalim wangu kanunua mbuzi alafu kazulumiwa.
@
@nasmanasri26739 months agoShekhe nimeota nmebeba mbuzi na kumleta nyumbani kwangu tena nikiwa na furaha.
@
@kamenemulu85612 years agoNiliota ngombe hananifukuza bt hakunipata niliingia mfunguni mwa kitanda.
@
@neemarichard12564 years agoNilota ngombe yupo juu anaelea huku hana migu.
@
@fatemaissaissafatema63104 years agoSalaam na ukiota asali na vitunguu main? 1
@
@mynamemanka9762 years agoKaka mimi nimeota nmekosana na boyfriend wangu, nikilia mbuzi wakaja kuni bembeleza.
@
@peterwamwea57382 years agoNkusota mbuzi zikikuja qwa shamba nliokua.
@fetychina79564 years agoNiota nyoka malaysia nyingi tu namwisho wa siku nyoka aliingia ndani sijui aliingiliawapi nika muua. 1
@
@saadahassan14374 years agoNiliota nyoka yupo juu ya kabati mkubwa nikimuangalia anajificha tn ni usiku nilishtuka ata kuwasha taa naogopaa. 1
@
@jobmutua22042 years agoDr. Mimi niliota nikichinja mbuzi. Nilichinja mbuzi mbili kwa kukata shingo na kutoa ngozi, wa tatu akanishinda kumshika vizuri ni mkate shingo, pls nisadie nijue maana yake.
@
@josephdullah3766last yearNimeona ndoto navuka mto nikiwa na mbuzi na ng' ombe pamoja maana yake nn.
@
@user-me6gn4gi4v4 years agoShekhe mmi niliota ngo, mbe wengi wana kimbiza watu na mmi pia nilikuwa hapo pia mmi nakimbia.
@
@catherinenyawira8652 years agoNiliota nikiwa tume imba mbuzi na tukashija tunaenda kuuza. Maanake nini.
@
@boramwanjemi22162 years agoAsallam wallekumu ukiota mbuz wanapita halafu unawarusha madong' o ili wasile mimea, tena mbuz hao kunamtu ndie amewafungulia wewe nikama waseedia wasile hapo kwenye mimea.
@
@annaharry49974 years agoMimi huwa naota mara kwa mara napigana na ng' ombe, siku zingine namshida mimi na siku zingine namkimbia alfu najificha, namba nisaidie maana yake. 1
@
@marynyange84784 years agoNimeota nikila maguu ya mbuzi hii yamaanisha nini shekh?
@
@miner.johnmasuka7621last yearDk nimeota mbuzi hana kichwa tafsiri yake nini.
@
@mchambuzi90893 years agoAsante. Je ukiota umekimbizwa na ng' ombe, na ww ukafanikiwa kuingia nyumba flan nakujifungia ndani inamaanisha nini?
@
@peterwahome4892 years agoNa ukiota nyoka mweusi mkubwa unataka kumuua then anaona yule mnyama wa kuishi kwa mchanga anamfata kumla na kuzama ndani ya shimo na hivo ndivyio atapotea maana take ni gani.
@
@agapenkya41484 years agoUkiota kondoo mmweupe amekuja nyumbani kwako.
@
@caleenmsabilwa41464 years agoJmn mm huwa naota ng, ombe mara nying in sk niliota niko kwenye vita sasa ioe nakimbia mbele nikakutana na ng, ombe weng nikasbl wakapita ndo na mm nikapita. ...Expand
@
@fadhilinzota34793 years agoNimeota nipondani haponje panazizi lang' ombe nisubiri nduguyangu anapika ugali tule mm niposebleni kwenyebusati nimepumzika.
@
@colethampepo52804 years agoNmeota mbuzi amechomwa (ndafu) maana yake n nini.
@
@paulinarungu33283 years agoMimi ninaota mara kwa mara kuwa mbuzi wangu kazaa mapacha na huyo mbuzi ni kweli ana mimba na mm pia ni mjamzito maana yake ni nn.
@
@malususiri48894 years agoUkiota unakata kuni mlimani nini maana yake.
@
@naomilucas32294 years agoNimeota: ng' ombe katoka kwenye biaashara yangu katokomea sikumuona tena, ila hapohapo nikaota nyoka weusi mkubwa na mdogo wameingia ndani ya frem yangu ya biashara, naomba jibu.
@
@sharifatabook46974 years agoNa ukiota ukikimbizwa na ngombe alafu wewe unapanda kwa mlima ngombe anapita nn maana yake?
@
@boliboembe62123 years agoDoktari ukiota mbuzi amezaa mapacha nini maana yake.
@
@hatamimnimempendabulejaman15964 years agoHata panya kula nguo zako laivu sio nzur mama anasemaga. 1
@
@uthmanihimbawe52443 years agoAs/alykm niliota ndoto niumeua nyokatafsir yake?
@
@professormpakistanimweusi57664 years agoNa je sheikh mtu ukiota unafuga mbuzi na wanazaa wapo wengi tu katika zizi. Hii nayo ni vp sheikh? 0.
@
@martapatrick26873 years agoShekhe mimi nimeota ng, ombe mbuzi wanakamuliwa maziwa mengi nawana toa hayo maziwa kila ng, ombe anakamuliwa ndoo moja.
@
@user-ij2bf8of8h5 years agoAsante sheikh kwa tafsiri za ndoto. Sheikh mimi niliota nakimbinzwa na nyoka na alikuja na mtu lakini sikumjua huyo mtu na mwishonini sheikh tafadhali namba kujua. 1
@
@rumaisaabaleli32184 years agoShekh nimeota punda ananikimbiza bdae amenipiga alafu akanimeza.
@
@severiningungulu12904 years agoDocta nimeota ng' ombe anafukuza sana watu japo mi alikua hanifukuzi lakini nilikua nijificha mwenyewe maanake nn.
Related videos for ZIJUE TAFSIR ZA NDOTO YA NG'OMBE MBUZI AU NYOKA.:
nimeota nanunua mbuzi mwenye mtoto.