Simba imefanikiwa kutinga kwa kishindo hatua ya makundi baada ya kuichakaza Fc platinum ya Zimbabwe goli 4 kwa bila , hivyo na kuthibitisha kweli Dar in war imefanya kazi. usisahau kushea, kulike na ku subscribe ili kuweza kupata habari motomoto za michezo
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for Highlight ya magoli yote ya Simba vs fc platinum ya Zimbabwe. aggregate Simba 4- fc platinum 1: