Ebitoke anasimulia safari ya maisha yake kuanzia kuwa mfanyakazi wa ndani Mwanza hadi kuja Dar kutafuta maisha na kujiunga na kundi la Timamu. Pia anaeleza jinsi anavyojutia kuivunja ndoa ya Mama Ashura. Kwa upande mwingine anaelezea hisia zake baada ya kusikia taarifa ya kuvunjika kwa ndoa ya Ben Pol na Anerlisa
#ChillnaSky
Category
Show more
Comments - 191
Related videos for Ebitoke akiri kuivunja ndoa ya Mama Ashura, 'Nilikosea sana' Achekelea Ben Pol na Anerlisa kuachana: