Maoni ya watu walioshuhudia #Tetemeko la ardhi nchini #Kenya na #Tanzania.
Tetemeko hilo limekuja siku chache baada ya wakazi wanaoishi pembezoni mwa ziwa Baringo nchini Kenya kuripotiwa kuwa na tetemeko baada ya kiwango cha maji kujaa kwa sababu ya mvua zinazoendelea.
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for Maoni ya watu walioshuhudia tetemeko la ardhi nchini Kenya na Tanzania: